Nini dhamira ya Baraza la Taifa la Biashara?
Kuimarisha mazingira mazuri ya kibiashara kwa kuweka umoja na utendaji wa wadau wote wa biashara kwa kuhakikisha uwepo wa miundombinu na sera nzuri za biashara pamoja na kuunda fursa zinazoweza kukuza biashara ndani na nje ya Zanzibar.